Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Wadau na wapenda masuala ya kielimu, kuanzia mwaka ujao kutakuwa na mabadiliko ya ufanyaji mitihani kwa wanafunzi wa vidato tajwa. Kidato cha Nne watakuwa wakifanya mitihani ya taifa kila ifikapo mwezi NOVEMBA badala ya Oktoba kama ilivyo sasa na kidato cha Sita mitihani ya taifa itakuwa ikifanyika kila ifikapo mwezi MEI badala ya Februari. Source TBC.