wale wanawake ni LATENT PROSTITUTES kama anavyothibitisha mtoa mada.Sema neno
Sumbawanga bar zetu hazina mabar maids wa hivi.......itakuwa kweli labda mso...ga.hahahaaa uwiii labda wa bar za sumbawanga..
hahahah am sory...mtu na kwao eh...Sumbawanga bar zetu hazina mabar maids wa hivi.......itakuwa kweli labda mso...ga.
Ndio hivyo,,,,hahahah am sory...mtu na kwao eh...
Sio zangu hizo nimepakua mtandaoni mdauMshana Jr najua wewe ni mjuvi wa sheria za uandishi na hasa haki ya kuchapisha picha ya mtu; je hao wahudumu uliopost picha zao una makubaliano nao ya kuweka picha zao hapa? Kama jibu ni hapana basi hujawatendea sawa.
Hapa rombo