Sure Mkuu..Tuanze na De france pale nafikiri hata Graduates wapo.
. So sadView attachment 320602Maskini huyu sijui ni wa wapi?
Twende, Nitasponsor kila kitu ila kuna fomu Nitakupatia ujaze kwanza PM. Achana na mambo ya Mshana, Tutambeba pia.weeeeeeeeeeeeeeee si kwa mwezi huu aisee never
Wapi hii? Mbona kama naanza kuvutika?Wanavutia sana
Hahaha! Nitavumilia wala usihofu!View attachment 320805unaifahamu hii ninini?
hayaHaifunguki Mama, Ninong'oneze.
Nasubiri.haya
Sumbawanga huwapat wa namna hii! wapo machangu kabsahahahaaa uwiii labda wa bar za sumbawanga..
Vingunguti darajani hiyoMi naendaga kunywa gongo Tu kwa mama kibonge. Ukifika hakuna kupiga stori unapimiwa unakunywa fasta halafu unawasha fegi huku umekunja uso unasikilizia maini yanaungua. Baadae unashushia miguu ya kuku.