Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
sasa ina anza kueleweka kumbe mauaji yanayo fanywa na polisi ni furaha na mtaji wa siasa kwa chadema!
Natamani kuona shape ya kichwa chako, hata kama ingekuwa ni kweli kuwa CHADEMA wanatumia mauaji yanayofanywa na polisi (ambao hawaongozwi na CHADEMA) polisi lazima waue?? Logic ya ajabu hii!