AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Vipi kuhusu REDIO IMAANI? Tuendelee kusikiliza?
mama yako ana hasara! Sasa hapa radio iman imeingiaje?
Vipi kuhusu REDIO IMAANI? Tuendelee kusikiliza?
"Hawajui walitendalo"
vipi gazeti la familia ya mbowe-tanzania daima nalo tulitumie kama toilet paper?
TBC inapotosha watu kuanzia kwenye sensa hadi matukio ya polisi.
VIVA CDM.
Hatua ya kususia tbc nilishaichukuwa yoka siku nyingi!
Mbona kama ni hilo TBC ilishasusia tokea zamani?Hivi Chadema wanaisusiaje TBC sasa kwa mfano? Kinacholeta mantiki kwangu ni TBC kuisusia Chadema kwa kutotangaza habari zake na siyo kinyume chake.
Mie naangaliaga TBC alhamisi kwa sababu ya Ze komedi kopi na kupest zaidi ya hapo hata wakiifunga kabisa poa tu.
Well done kamati kuu kwa kutoa msimamo huu ambao tuliutegemea.
Huyu dogo Adam Chagulani nilishajua siku zake ndani ya Chadema zinahesabika, hatimaye yametimia.
Kazi kubwa iliyopo ni kuhakikisha Jijin la Mwanza linapata viongozi mahiri watakaoweza kwenda na kasi mpya ya mahitaji ya kisiasa kwa sasa.
Mkuu tunaweza tukaona kama MEYA alikuwa Mchafu kumbe alikuwa anasababishiwa na Kina ADAMU CHANGULA hebu jaribu kufikiria ile Issue ya Maliasili na Maige ya kusafirisha Twiga kumbe yeye alikuwa anapokea order tuuKUWAFUTIA UANACHAMA KINA ADAMS CHAGULANI NI UCHEMKAJI. CDM mnajichafua mwana, Meya alikuwa ni kokoto!
Zitto alikuwepo kenye kamati kuu?au ni yaleyale?Mie naangaliaga TBC alhamisi kwa sababu ya Ze komedi kopi na kupest zaidi ya hapo hata wakiifunga kabisa poa tu.