Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Ujumbe wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania(TEC) uliotolewa na maaskofu hao baada ya kikao chao cha mkutano wa 65 uliofanyika Kurasini DSM na kusomwa na Rais wa TEC Mhashamu Thaddaeus Ruwa'achi (sasa amemaliza muda wake) unasema kwa nyakati tofauti wameziandikia mamlaka husika (serikali) na kushauri namna ya kuzuia kuibuka vurugu za chuki za kidini wakapuuza na sas madhara hasi yanaonekana.
source :kiongozi 6-12 july 2012
source :kiongozi 6-12 july 2012