Paschal Matubi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2008
- 235
- 302
Niko hapa Kawekamo Mwanza kuhudhuria sherehe za kumsimika Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'Ichi.
Mwakilishi wa serikali amekuja Waziri Stephen Wasira.
Katika hotuba yake Wasira dakika tano zilizopita kawaambia maaskofu kwamba 'serikali ikielekea kuvunja amani ikemeeni bila woga'
Mwakilishi wa serikali amekuja Waziri Stephen Wasira.
Katika hotuba yake Wasira dakika tano zilizopita kawaambia maaskofu kwamba 'serikali ikielekea kuvunja amani ikemeeni bila woga'