Maasai Jokes

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
Maasai alimwona jamaa ana kopo la maji anaenda ****** mazungumzo yao yakawa kama ifuatavyo:
Maasai: Rafiki mbona naenda na kopo ya maji ****** muk#nd# yako nakiu?

Maasai baada ya kuchomwa sindano na nesi akamgeukia na kumwambia:
Maasai: Rafiki hajaona tundu huko nyuma mpaka natoboa ingine?

Enjoy your time
 
Maasai alimwona jamaa ana kopo la maji anaenda ****** mazungumzo yao yakawa kama ifuatavyo:
Maasai: Rafiki mbona naenda na kopo ya maji ****** muk#nd# yako nakiu?

Maasai baada ya kuchomwa sindano na nesi akamgeukia na kumwambia:
Maasai: Rafiki hajaona tundu huko nyuma mpaka natoboa ingine?

Enjoy your time


Hii haina mvuto ni udhalilishaji na si joke, Fikiria kabla kuleta joke zako na ujue wasomaji ni watu wazima si watoto.
 
please, stupid person talk what he/she think,but wise person think what he/she talks. Think twice before you disseminate your jokes.
 
Thats why its a JOKE,
hahaaaaaa,ma yeyo nasindwa andikia wewe barai,sababu nahamahama na ng'ombe everyday!
 
Back
Top Bottom