Maandishi kwenye t shirt

STALLEY

JF-Expert Member
May 5, 2012
618
206
Jamani natoa angalizo kwa wanunuaji wa tshirt kusoma maandishi ya kwenye tshirt kabla ya kununua sababu mnaonekana vituko mtaani hasa wanaonunua mitumba
 
kuna m1 kavaa imeandikwa ONLY DUMB PEOPLE CAN READ MY T-SHIRT nlitaman kumrukia coz mwenyewe nlikua nasoma hayo maandishi :doh:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom