alifumba (tafsida) tu akini anamaaiha iwe mswahili au muarabu....K ZAFANANA
lipo moja limeandikwa UKIONA KAPOTEA KAMTAFUTE MAbWEPANDE, lingine JUA KALI MASTER, lingine ZIMA KIPISI MGAMBO ANAKUJA, lingine NJAA AINA BAUNSA, lingine TUKIKUMBUKA TULIKO TOKA BASI MASAI ATACHANA CHUPI, lingine BUBU UNAMFOKEA KIZIWI? lingine WATOTO WA JANGWANI, lingine .......
wameandika eti LIWALO NA LIWE
ZAFANANA? zi nini hizo?Jee ukikuta bus la tanga linaitwa ZAFANANA.ni la muarab kaoa mswahili waarab wenzake wakamtenga akaandika ma bus yake jina hilo
Wadau jana mida ya saa moja jioni nilikuwa nikienda sehemu ya kupata moja moto moja baridi, nikiwa kwenye gari mbele yangu kuna basi moja lilikuwa mbele yangu, basi lenyewe bila kuficha ni la kampuni ya Mohamed classic.
Kilichonikera kwenye hilo basi ni bango au mudguard iliyokuwa na maneno makubwa ya ALSHABAB. Mtu akiandika maneno kama yale maana yake ni kwamba anaunga mkono wanachofanya magaidi wa alshaabab au inawezekana ni mmoja wao. Nikajiuliza je huko njiani yanakopita hakuna hata wana usalama wa kuwauliza?
Siku za nyuma pia niliwahi kuona pia pickup moja imeandikwa "Boko Haram".
Nimejaribu kuweka picha ingawa haionekani vizuri maana ilikuwa usiku
lipo moja limeandikwa UKIONA KAPOTEA KAMTAFUTE MAbWEPANDE, lingine JUA KALI MASTER, lingine ZIMA KIPISI MGAMBO ANAKUJA, lingine NJAA AINA BAUNSA, lingine TUKIKUMBUKA TULIKO TOKA BASI MASAI ATACHANA CHUPI, lingine BUBU UNAMFOKEA KIZIWI? lingine WATOTO WA JANGWANI, lingine .......
Huku mitaani kwetu kuna 1 limeandikwa Michael Obama.......yule ***** anayesupport ushoga duniani!Wadau jana mida ya saa moja jioni nilikuwa nikienda sehemu ya kupata moja moto moja baridi, nikiwa kwenye gari mbele yangu kuna basi moja lilikuwa mbele yangu, basi lenyewe bila kuficha ni la kampuni ya Mohamed classic.
Kilichonikera kwenye hilo basi ni bango au mudguard iliyokuwa na maneno makubwa ya ALSHABAB. Mtu akiandika maneno kama yale maana yake ni kwamba anaunga mkono wanachofanya magaidi wa alshaabab au inawezekana ni mmoja wao. Nikajiuliza je huko njiani yanakopita hakuna hata wana usalama wa kuwauliza?
Siku za nyuma pia niliwahi kuona pia pickup moja imeandikwa "Boko Haram".
Nimejaribu kuweka picha ingawa haionekani vizuri maana ilikuwa usiku