micksawe Member Nov 23, 2011 9 0 Nov 23, 2011 #1 Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo. Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo. Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo. Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo. Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Nov 23, 2011 #2 maandamano sio uvunjifu wa amani.youare wrong.