maandamano

micksawe

Member
Nov 23, 2011
9
0
Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo.

Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo.

Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
 
Back
Top Bottom