mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
Maandamano yoyote ambayo yamepata kufanikiwa ni yale ambayo hayasubiri kupata kibali cha polisi.Ni lazima tufahamu kuwa polisi nao wanataka kuandamana lakini kutokana na miiko ya kazi zao hawawezi kufanya hinyo. Hawa polisi ni ndugu zetu, mishahara yao ni midogo nao wamechoka. Wanasubiri sisi tuanze kwa nguvu kubwa. Ndugu zangu hatupaswi kusubiri maandamano ya kupewa kibali na polisi kwani hicho kibali hakiwezi kutoka kwani hawa wanatumikia serikali ya CCM.
Kama kweli tuna kitu cha msingi tunakidai na ni haki yetu wananchi hatupaswi kusubiri kibali cha maandamano tena ya amani. Hali ya maisha in ngumu, shilingi inashuka thamani kila siku, sehemu zingine katika nchi hawana petroli, sukari bei juu, namna hii kweli tutafika. Tunahitaji ufumbuzi wa haraka. Maandamano yanasaidia watawala kuamka na kufuata misingi ya haki za binadamu.
Tunaandamanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kama kweli tuna kitu cha msingi tunakidai na ni haki yetu wananchi hatupaswi kusubiri kibali cha maandamano tena ya amani. Hali ya maisha in ngumu, shilingi inashuka thamani kila siku, sehemu zingine katika nchi hawana petroli, sukari bei juu, namna hii kweli tutafika. Tunahitaji ufumbuzi wa haraka. Maandamano yanasaidia watawala kuamka na kufuata misingi ya haki za binadamu.
Tunaandamanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa