mamaWILLE
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 151
- 39
Maandamano yajayo tusiwaachie wamachinga na wapiga debe kwani kila maandamano yanapoitishwa machinga na wapiga debe hujitokeza kwa wingi na wasomi kama maprof, Dk,
Phd huwa watazamaji tu. Sasa safari hii sote tujitokeze.
leo yametimia serikari imeonyesha kuwa hatuskilizi sisi wananchi tunataka nini. Serikari Imeamua kwa makusudi kusoma muswada wa sheria leo hii.
Sote tulikubaliana hapa kama ukisomwa kwa mara ya pili tuko tayari kwenda jela, kupigwa risasi na hata kuuwawa kwa kutetea haki yetu.
Jukwaa la katiba jana limetoa ahadi kama muswaada utasomwa mara ya pili basi wataandaa maandamano. Leo muswada umesomwa mara ya pili kwa maana ya jukwaa la katiba tunawadai haki waliyo ahidi ya maandamaono makubwa nchi nzima.
Wana Jf wengi mlipost kwa nyakati tofaut mko tayari kwa maandamano na mpo radhi kufa. Sasa tujiandae kwa hilo la maandamano maana tulikubaliana hapa hapa.
Natoa wito kwa wasomi maandamano yajayo wasomi tujitokeze kwa wingi tusiwaachie wamachinga na wapiga debe pekee. Kama tulivyo toa hisia zetu katika mijadala mbali mbali basi tujitokeze sote katika maandamaono hayo. TUSIOGOPE TUTASHINDA KWA UMOJA WETU.
Nawasilisha wapendwa
ria.
Phd huwa watazamaji tu. Sasa safari hii sote tujitokeze.
leo yametimia serikari imeonyesha kuwa hatuskilizi sisi wananchi tunataka nini. Serikari Imeamua kwa makusudi kusoma muswada wa sheria leo hii.
Sote tulikubaliana hapa kama ukisomwa kwa mara ya pili tuko tayari kwenda jela, kupigwa risasi na hata kuuwawa kwa kutetea haki yetu.
Jukwaa la katiba jana limetoa ahadi kama muswaada utasomwa mara ya pili basi wataandaa maandamano. Leo muswada umesomwa mara ya pili kwa maana ya jukwaa la katiba tunawadai haki waliyo ahidi ya maandamaono makubwa nchi nzima.
Wana Jf wengi mlipost kwa nyakati tofaut mko tayari kwa maandamano na mpo radhi kufa. Sasa tujiandae kwa hilo la maandamano maana tulikubaliana hapa hapa.
Natoa wito kwa wasomi maandamano yajayo wasomi tujitokeze kwa wingi tusiwaachie wamachinga na wapiga debe pekee. Kama tulivyo toa hisia zetu katika mijadala mbali mbali basi tujitokeze sote katika maandamaono hayo. TUSIOGOPE TUTASHINDA KWA UMOJA WETU.
Nawasilisha wapendwa
ria.