Nimewasikilia na kuwaangalia wanaojiita wapenda amani. Nimegundua kumbe ni watu wwachache tu ndio wanaopenda ufisadi wa CCM. Nawashauri CDM wasiwajibu hao vibaraka ila wao iwe "Chadema mwendo mdundo, fichua mafisadi". Mwaka huu tutaona mengi bali huo ni mwanzo wa mapambazuko