gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
Ndugu wana JF,
Kulikuwa na habari humu kwenye jukwaa letu kwamba,wanawake wa CHADEMA wataandamana kwenda kumuona mama Samia kufikisha ujumbe wao kuhusu mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo kule Zanzibar.
Je, Waliandamana au walizuiwa?
Kulikuwa na habari humu kwenye jukwaa letu kwamba,wanawake wa CHADEMA wataandamana kwenda kumuona mama Samia kufikisha ujumbe wao kuhusu mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo kule Zanzibar.
Je, Waliandamana au walizuiwa?