Da mkuu yani nmelikumbuka sana gazeti langu pendwanitafurahi sana kama Said Kubenea atakuwepo na team yake,wakiwa wamejipanga vizuri..........i miss his papers
Hawata tatizo na waandishi, waislam, cuf, tlp wala ccm. Tatizo lao ni cdm tu!
Clouds na Channel 10 wametangaza mfanyakazi wao yeyote atakayeshiriki kwenye maandamano ya leo atakuwa amejifukuzisha kazi. Kwa kweli mimi nakiona kitendo hicho kama ni ukiukwaji wa haki za wafanyakazi na ni kinyume cha haki za binadamu.
Wananchi wa kawaida tusio waandish wa habari tunaruhusiwa kuja kwenye maandamano kuwaunga mkono?
Oh ngoja niwahi ili angalau niwe na amani kuwa nilifanya kitu kwa ajili ya marehemu Daud MwangosiTunaruhusiwa mkuu. Usisahau kuvaa nguo nyeusi au funga kitambaa cheusi mkononi
Tunaruhusiwa mkuu. Usisahau kuvaa nguo nyeusi au funga kitambaa cheusi mkononi
Mkuu kuna ukweli hapa?
Hata jezi za Man. U nyeusi zinaruhusiwa?
Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.
Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.
Oh ngoja niwahi ili angalau niwe na amani kuwa nilifanya kitu kwa ajili ya marehemu Daud Mwangosi
Ndo maanakeHata jezi za Man. U nyeusi zinaruhusiwa?
Sure!.. We have 2 do something siyo tunaishia kuandika tu hapa.