Maandamano ya Wanahabari kesho Ruksa!

Status
Not open for further replies.
Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.

Mkuu theme ni nini?
 
Hata mimi najiuliza kama makanjanja wa tbccm, uhuru na daily news watajiunga kwenye maandamano hayo.
 
Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.

Wasomaji wa Magazeti maandamano yetu lini kupinga Habari Za sintofahamu ambazo baadhi Yao wanatuuzia
 
Mh hao polis wa tz ujue wanakera xana yaani wanashndwa kusimamia hak za mcng na bdala yake wanafuta ya watu ambao hawana msaada na familia zao na maisha yao wanashndwa hata kujfkiria mahal wanapolala jins palivyo hovyo{nyumba zao}
 
Waandishi wangesusia kuandika habari za serikali ya CCM, mpaka RPC wa Iringa afunguliwe mashitaka ya mauaji. Vyombo vya habari vingeanza/kuendelea kuandika mabaya tuu yanayofanya na watendaji wa serikali ya CCM tena kiziweka front page.
 
Ilitakiwa iandikwe hivi; HATIMAYE JESHI LA POLIS LIMETAARIFIWA JUU YA MAANDAMANO YA WANAHABARI NA LITATOA ULINZI. Zaidi ya hapo ni policcmtics

Mkuu nilikuwa nataka kuanzisha uzi wenye maudhui haya, asante kwa weledi!!!

Nawalaumu waandishi wa habari kwa kutokuieleza ukweli jamii juu ya sheria inayoliwajibisha jeshi la polisi kutoa ulinzi na si "kibali" kwa mikutano na maandamano ya vyama vya siasa na vya kiraia. Siungi mkono mauaji, lakini tukio hili liwabadilishe mtazamo waandishi wa habari juu ya kuikazia sheria isomeke kwa tafsiri halisi.
 
waandishi wa habari wanaandamana ili habari zao aandike nani.? Ina maana kalamu zao hawaziamini,??
 
Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.

Wana Jamiiforums

Tunaongeza nyama kwenye habari hii kwa ku-nukuu

Source : Mwananchi Communications Ltd | Facebook

601530_10151144253244339_755082942_n.jpg


Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.Kamanda kova athibitisha kuwepo kwa maamuzi hayo baada ya vutanikuvute. Endelea kufuatana nasi Mwananchi Communications Ltd | Facebook
 
Mabango yawe na orodha ya watu wa kujiuzulu: Nchimbi, Mwema, Rpc-Iringa, RCO -Iringa, OCD, DC, RC, Chagonja na Manumba!... Pia yaeleze kuwa wote hawa wanahaha kuficha ukweli na siyo kuutoa ukweli hadharani.
 
Hakuna tenaa tishio la alqaeda wala alshaab...teh teh teh. Polisi wetu wana mambo!
 
Kumbuka kuna mabom yatakuwa yanatafuta watu kesho namjua Kova.
Kuweni makini jamaa zangu hasa wale wanaoshukiwa na kutafutwa.

ondawa shaka mkuu ukiona tbc nao wapo ujuwe hali itakuwa swali ila ukienda kwenye mkutano tbc hawapo juwa muda wowote kitanuka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom