wanaoingoza hii nchi wanashughulikiwa na mapopobawa kila uchao. unategemea nini??
Hao watoto hawajapitia JKT. Ndio matokeo yake. Wanavunjwa bikra mchana kweupe na vibaka. Vibaka wasingejaribu wakati wetu. Tulipitia JKT, tukafundwa sawasawa.
Nao wanaliwa kiboga kama wa IFM? Taifa litakuwa la mashoga hili
Serikali iwajibike kwa anafunzi wanaotendewa unyama
Acha uongo, wanafunzi wote wa Chuo hicho hawazidi 4000, hata vyombo vya habari wameonesha breaking news wanafunzi walioandamana hawakufika robo ya wanafunzi hao 4000.Wanafunzi wapatao 5000 hivi wa chuo cha St John wanaandamana kutaka jeshi la polisi liwajibike kwa mauaji yanayoendelea kutokea ndani ya chuo yanayofanywa na vibaka na majambazi.
Ikumbukwe juzi jumatatu mwanachuo ameuawa kikatili na kuporwa simu,jana hosteli za akina dada zilivamiwa na laptops,simu na fedha kuibwa na wanafunzi kupigwa vibaya.Majambazi hayo ktk tukio la jana waliwabaka na kuwalawiti wanachuo kadhaa.
Maandamano ni makubwa sana,RPC kaingia kwa VICE Chancellor kwa mazungumzo,mbaya zaidi wanafunzi wanaelekea kituo cha polisi na kuna wasiwasi zikatokea vurugu kubwa na msuguano na polisi.
watuhumiwa ni hao polisi.
Serikali iwajibike kwa anafunzi wanaotendewa unyama