- Thread starter
- #41
Siku akiwashika masaburi magamba au magwanda mnalalamika sana hapa jukwaani, kuandamana ni haki ya mtu kwa nini wazuimwe?????
mkuu hawana kibali! tii sheria bila shuruti.
Siku akiwashika masaburi magamba au magwanda mnalalamika sana hapa jukwaani, kuandamana ni haki ya mtu kwa nini wazuimwe?????
mkuu hawana kibali! tii sheria bila shuruti.
Are domostrators rational!inanishangaza sana tabia ya watu kuwafanya polisi kama mashine na sio binadamu pengine kaka zetu na dada zetu au hata wake zetu na waume zetu.
Haya nenda kaandamane upewe ulinzi!
Mimi sio muislam so siwezi kwenda kuandamana
Tusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu
Hata mimi nakuunga mkono mkuu hawa watu wanatakiwa kutoa taarifa Polisi na siyo kuomba kibali, ila tatizo kubwa linalojitokeza wamekuwa wakiwachanganya sana polisi na wananchi wengine kwa ujumla kwasababu wanaweza wakawa wana madai "A" kutoka kwa "X" lakini wakaenda kumvamia "B" kwa kwa madai "Y". Kwa mfano wanaweza wakaruhusiwa ili waandamane kupinga Ponda kunyimwa dhamana, lakini wakiwa njiani watavunja makanisa na kuiba sadaka kulaani Baraza la mitihani kuwafelisha mitihani,, hapo ndo wanatuchanganya kabisa wananchi na jeshi la Polisi, hivyo ni vema kuwazuia wasiandamane kabisa tena ikiwezekana wasipewe hata fursa ya kujieleza maana hawaeleweki kabisa.:banplease:
Toka nizakiwe mpaka nafikisha miaka sasa 30 sijawahi kusikia maandamano ya Wakristu. Inamaana wao hawapati shika ziwapatazo waislam??? Au kunani hapo?
-Haki za watu haziwezi kuzimwa kwa vitisho.
Kwa kufanya hivi jeshi linazidi kuchochea machafuko
-Waumini wa Kiislamu wana haki ya kuandamana ingawa siungi mkono kuharibu mali
-Sheikh Ponda ana haki ya dhamana
Saa nyingine tuwe na akili angalau kwa kuazima. Ni kweli kuandamana ni haki ya raia, lkn sababu ya maandamano ni muhimu kuzingatiwa. Ikiwa leo Wakristo wataamua kuandamana kushinikiza Ponda asipewe dhamana NG'O, nao waruhusiwe kwa kuwa kuandamana ni haki ya raia?
Inatosha tu ukijijibu mwenyewe.
kabila01 U HAVE MADE MY DAY! NIMECHEKA HASWAAAAAAAAA!Hivi wadau kuna connection gani kati ya waislamu na wali? yaani hapo hua nashindwa kuelewa
Siku moja jirani yangu muislam alikua na harusi ya mwanae akniomba nishiriki ktk hrusi hiyo kwa kuwabeba ndg zake ktk gari langu. Tulipofika kule tulikoenda kuoa nikawakuta waislam ktk vikundi wakijadili kuhusu hali ya machafuko. Walionekana ni watu wazima wakichangia mada iliyopo kwa jazba sana. Sasa wakati wakiendelea na majadiliano zikatoka sinia za ubwabwa, nakwambia hali ya hewa maeneo yale ilibadilika kabisa watu walikua wakigombania yale masinia kama mpira wa gombania goli na ule mjadala ukafungwa. Nashindwa kuelewa connection iliyopo kati ya Ubwabwa na hawa jamaa
Hivi wadau kuna connection gani kati ya waislamu na wali? yaani hapo hua nashindwa kuelewa
Siku moja jirani yangu muislam alikua na harusi ya mwanae akniomba nishiriki ktk hrusi hiyo kwa kuwabeba ndg zake ktk gari langu. Tulipofika kule tulikoenda kuoa nikawakuta waislam ktk vikundi wakijadili kuhusu hali ya machafuko. Walionekana ni watu wazima wakichangia mada iliyopo kwa jazba sana. Sasa wakati wakiendelea na majadiliano zikatoka sinia za ubwabwa, nakwambia hali ya hewa maeneo yale ilibadilika kabisa watu walikua wakigombania yale masinia kama mpira wa gombania goli na ule mjadala ukafungwa. Nashindwa kuelewa connection iliyopo kati ya Ubwabwa na hawa jamaa