Maroun MU
Member
- Jul 21, 2012
- 97
- 4
Waislam wamepanga Maandamano ya Mani Tanzania hapo kesho hd ktk Ofisi ya Waziri mkuu kwa Waislam wa Dar Es Salaam na huku mikoa mingine ikielekea ktk Ofisi ya wakuu wa mikoa,huku jeshi la Polisi linaloshindwa kuamua mambo ipasavyo likitakwa Waislam wacfanye Maandamano ya Amani kwa kuogopa kuvunja amani,swali linakuja hapa kwan maandamano ya Amani siku zote huwa yanavunja amani ama kn agenda hapa imejificha juu ya kesi za waislam wote wanaoshikiliwa na jeshi la polisi.