Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,504
- Thread starter
- #101
Tarehe 1 September kuungana na UKUTA kwa kuwa frontline?
Unajua nilipo?
Tarehe 1 September kuungana na UKUTA kwa kuwa frontline?
Sijui ila popote ulipo!Unajua nilipo?
Wasipoandamana kwa kuogopa vitisho vya MTUKUFU, basi tatizo ni uvunjwaji wa katiba na sheria.
Maandamano ya UKUTA yameshafanywa na polisi nchi nzima bila wao wenyewe kujua
tarehe 1 tunaendelea na mikutano nchi nzima.
Nimetokea kumchukia huyu mtukufu......
Ndiyo uende kwenye maandamano,maana wengi hata hawaelewi kuhusu udikteta ila ugumu wa maisha ndiyo unaowapeleka huko.Mimi bhana huku mtaani hali mbaya kweli, vipi wenzangu?
Mbelee Kwa mbeleee....Kwahiyo!!?
Mwenye enzi ni mmoja.. Tu Mwenyezi Mungu..
Waliobaki wootee ni makorombwee tuuu..
Kumbe sasa ni za niniCHADEMA wakirudi nyuma tu, basi harakati zao zote huko mbeleni zitaonekana kama kelele za chura.
Yani we inaonekana #MrMkurupuko akikuambia umsujudie we utamsujudia ww kwa uoga wako na unafiki wa kujipendekezaNgoja mwenyewe akusikie..
Miafrika Ndivyo Tulivyo.Kama UKUTA wakinywea na mwishowe kutokufanya hayo maandamano yao ambayo wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 1 mwezi ujao, basi mheshimiwa MWENYE ENZI, MTUKUFU rais Magufuli atakuwa amepata ushindi mkubwa sana.
Hayo maandamano yasipotokea atakuwa kafanikiwa kuwatisha wananchi katika kutofanya yale ambayo hayampendezi yeye.
Na huu ndo utakuwa mwanzo tu. Huko mbeleni ikitokea kuna jambo ambalo halimpendezi yeye binafsi basi hatosita kutumia vyombo vya dola kuwatisha watu ili waache kufanya walichokuwa wamepanga kufanya.
Hiyo ndo Tanzania mpya. Tanzania ya MWENYE ENZI, Mtukufu rais John Pombe Joseph Magufuli [nahisi pia tutalazimishwa kuyatumia majina yake yote manne la sivyo wataokiuka watatafutwa na kuadhibiwa, hata kama wapo mitandaoni].
Na nyie wachora vikatuni nahisi dawa yenu inakorogwa huko maabara. Kama mkiendelea kumchora vibaya MWENYE ENZI, MTUKUFU rais John Pombe Joseph Magufuli basi siku zenu zinahesabika.
Yakiwatokea ya kutokea msije lalama eti sikuwaambia! Shauri yenu.
Zao au wananchi woteCHADEMA wakirudi nyuma tu, basi harakati zao zote huko mbeleni zitaonekana kama kelele za chura.
Mandamano hayafanyiki na wachora katuni wataendelea kuchora!
Hizi kelele sio mpya na haziwezi kumalizika mpaka pale wapiga kelele watakapo tembea katika maneno yao kwa sababu vyama vinavyopiga kelele kuhusu demokrasia havina hata misingi ya demokrasia ndani ya vyama vyao.
CHADEMA wamechukua jukumu kubwa ambalo kwa sasa liko juu ya uwezo wao kama chama.
“...Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop according to that particular country. I never went to a country, saw many parties and assumed that it is democratic. You cannot define democracy purely in terms of multi-partist parties...”-Mwl. Nyerere.
Tanzania is unique country!
Kwa nini mnalia lia. Andamaneni sasa.Jamani hili sio la chama, uhuru wa kukusanyika ni wetu sote hata ikiwa ni washabiki wa mpira na uhuru wa kuandamana ni wetu sote hata ikiwa ni wafanyakazi