Vita dhidi ya Mafisadi inahitaji nguvu ya wananchi sasa. Maana mpaka sasa wananchi wamekuwa wasikilizaji na watazamaji tu. Umefika wakati ambapo tunahitaji kutambua kama hii vita ya mafisadi inawagusa kweli wananchi, na pia serikali itambue inahitaji njia za haraka kudhibiti ufisadi!
Sidhani kama tunataka viporo kwa uongozi ujao, tunataka ufisadi ushugulikiwe ndani ya awamu ya kwanza ya kikwete, na asiposhughulikia kipindi hichi basi ndio ajue itakuwa swali lake kubwa katika uchaguzi ujao.
Mawazo yangu, wapiganaji wa ufisadi, waandae maandamano ya amani kuitaka serikali ishugulikie swala la mafisadi kwa haraka zaidi. Tunahitaji kesi hizi zisikilizwe ndani ya miezi 6, na suluhu zake zipatikane kabla ya 2009 haijaisha.
Maandamano yawe katika mikoa mitatu tofauti, na Zanzibar, katika siku zinazofuatana ndani ya wiki mbili. Kwa mfano maandamano yazinduliwe tarehe 9 may, Dar, tarehe 10 yapelekwe Kilimanjaro, halafu tarehe 16 yaende mwanza na 17 yafungiwe Zanzibar.
Napendekeza mengi, kupitia ujasiri wake wa kuwataja mafisadi na vyombo vyake vya habari, awe kinara wa maandamano hayo, mzee mwanakijiji ashugulikie agenda za maandamano hayo, NGOs zihamasishwe kushiriki, hasaFEMACT imekuwa mstari wa mbele kupinga ufisadi. Kitila Mkumbo uhamasishe watu wa vyuoni hasa vyombo vya wanafunzi kushiriki katika maandamano haya. Na watu wengine wenye michango mbalimbali katika harakati, ambao siwafahumu wajitolea kuhamasisha na kupanga maandamano haya.
Umefika wakati wa kujiondoa katika magazeti na kujipima kupitia wananchi kama kweli ni agenda yetu sote.
If we talk the talk, lets do the walk.
Sidhani kama tunataka viporo kwa uongozi ujao, tunataka ufisadi ushugulikiwe ndani ya awamu ya kwanza ya kikwete, na asiposhughulikia kipindi hichi basi ndio ajue itakuwa swali lake kubwa katika uchaguzi ujao.
Mawazo yangu, wapiganaji wa ufisadi, waandae maandamano ya amani kuitaka serikali ishugulikie swala la mafisadi kwa haraka zaidi. Tunahitaji kesi hizi zisikilizwe ndani ya miezi 6, na suluhu zake zipatikane kabla ya 2009 haijaisha.
Maandamano yawe katika mikoa mitatu tofauti, na Zanzibar, katika siku zinazofuatana ndani ya wiki mbili. Kwa mfano maandamano yazinduliwe tarehe 9 may, Dar, tarehe 10 yapelekwe Kilimanjaro, halafu tarehe 16 yaende mwanza na 17 yafungiwe Zanzibar.
Napendekeza mengi, kupitia ujasiri wake wa kuwataja mafisadi na vyombo vyake vya habari, awe kinara wa maandamano hayo, mzee mwanakijiji ashugulikie agenda za maandamano hayo, NGOs zihamasishwe kushiriki, hasaFEMACT imekuwa mstari wa mbele kupinga ufisadi. Kitila Mkumbo uhamasishe watu wa vyuoni hasa vyombo vya wanafunzi kushiriki katika maandamano haya. Na watu wengine wenye michango mbalimbali katika harakati, ambao siwafahumu wajitolea kuhamasisha na kupanga maandamano haya.
Umefika wakati wa kujiondoa katika magazeti na kujipima kupitia wananchi kama kweli ni agenda yetu sote.
If we talk the talk, lets do the walk.
Last edited: