Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Sikuelewa kilichotokea baada ya Mh Lema kupata dhamana. Pengine katika hali kama ile akili na macho vimeshazoea kuona polisi wakiwa na mabunduki yao. Hata hivyo pamoja na maandano yasiyo rasmi. Sikuona polisi hata mmoja. Inaonekana jeshi letu sasa linaanza kukua na kupata akili..