Maandamano ya Kumsapoti JK Washington DC

mbinu za kanisa kwa ****** zitagonga mwamba kwani ukiwa na akili kwa nini ****** munamuonea bure haya yote ni munataka atoke basi mpaka mwisho kieleweke nanyi wa huko marekani amekuja mara ngapi au ndiyo ni mashauzi yenu sasa fanyeni hivo muone,
Go to hell all who hate ******.
 
Kuna jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha Rais JK anapokewa kwa heshima atakapokuja Washington. Watanzania mnaombwa kushiriki kwa wingi ktk Ubalozi wa TZ uliopo Washington DC kumpa Support na changamoto Rais JK ambaya alishinda uchaguzi 2010. WTZ mliopo Marekania mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa Support Rais JK.

Mpenda Haki, na Ukweli.
NY, USA
Mkuu usisahau kuwa hii ni JF.Tafadhali weka sababu za Mh Rais kupokelewa kwa maandamano ya kumsapoti badala ya kufanya hivyo kwasababu tu wengine wameandaa ya kumpinga. Walio ya andaa maandamano ya kumpinga wameweka sababu za kufanya hivyo. Nipeni sababu za maandamo yenu ili niweze ku ya consider.

Otherwise nyie ndo waharibifu wa nchi yetu kwa kuletea ushabiki wa Simba na Yanga kwenye ishu nyeti.
 
mbinu za kanisa kwa ****** zitagonga mwamba kwani ukiwa na akili kwa nini ****** munamuonea bure haya yote ni munataka atoke basi mpaka mwisho kieleweke nanyi wa huko marekani amekuja mara ngapi au ndiyo ni mashauzi yenu sasa fanyeni hivo muone,
Go to hell all who hate ******.
Sheikh ubwabwa nakuahidi kukuchinjia yule mwanakondoo wa maajabu mwenye baka leupe ubavuni katika ile sikukuu yenu ya kuadhimisha siku 30 za kushinda njaa.
 
Nashangaaa watu wanaunganishaje Diaspora na Maandamano, wakitaka maandamano yajulikane dunia nzima si waende huko NY ambapo CNN, FOX nk watakuwepo kwa mkutano wa UN ? , watu tunaohudhuria Diaspora hatuna habari na Maandamano yenu hayatuhusu sisi tunakwenda kwa 50 zetu za mkutano , mjuane huko huko na huyo Kikwete akiingia tunampokea akitoka nyieee mzomeeeni tuu mnavyotaka sisi halituhusu, wengi wetu hatuuudhuri maandamano yeyote ya kumpinga wala kumsupport tunakuja hotelini tunaanza shughuli kama ilivyokuwa Minnesota tunamaliza hao Airport

Na wewe wa kumsupport msapoti huko huko NY kwako na makundi yenu sisi tumekaa mkao wa kibiashara na maendeleo sio mkao wa "Flames" "Flames", mumletee na mdundiko wa kumsuta au kumsupport kama mna hasira sana
 
Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita Eliakim Mallya na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.
Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.

Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.

Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.

Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.

Mwesigwa. Blandesi

Mwesiga hekima yako ipo kule kiranja wa Madiwani wa CCM Dar alivyowaambia wabunge wake.

Bado umelala akili kiasi cha kufikiria kuwa kuandamana kumpinga bwana wako ni uhaini? hakika nyani haoni kundule, yaani hujijui kama wewe ndiye uliyetota alafu unatafuta mtu aliyetota zaidi yako, sijui utampata wapi? Endelea kulala na kuota ndoto za 1980s, Demokrasi ya leo siyo ya 1980s ni demokrasi ya kimataifa ni demokrasia ambayo inaweza kutetewa nje ndani ya nchni, ni demokrasi ambayo Qadhaffi aliyefikiria kuwa urais wa Libya ni wake na familia yake leo hana hata uhuru wa kwenda choo kwa amani humo humo ndani ya Libya.

Waacheni watu waonyeshe hisia zao, njia pekee ya kuzuia hisia za wananchni ni kuwasikiliza na kutekeleza malalamiko yao siyo kuwatisha, mlitegemea kutokupingwa leo wanao wapinga wanaitwa wajinga hivyo ndivyo ulivyofundishwa kufikiri bila kutumia hata chembe ya akili, kushindwa kushirikisha matamanio ya mioyo na ubongo mara zote kunamnyima mtu busara kabisa, hivi ndivyo ulivyoonekana hapa. Endelea kulala ila ukae ukijuwa maji yalisha mwagika, huu ni muda wa kutumia akili zaidi kuliko nguvu, maana hata amani akitoweka poorers has nothing to loose, nyie mlioiba na kulimbikiza ndio mna cha kupoteza.

Pia Tanzania si kijiji chini ya bahari au Gambushi ambacho hakiangaliwi na macho ya kimataifa kila kitu sasa kipo wazi na kinaeleweka bayana hakuna nafasi ya ubabe na nguvu hata ya siku tatu yanayoweza tena kukubalika machoni pa mataifa makubwa humu Tanzania tatizo lenu ni kulala na kutokufuatilia mambo kiundani, wakati watu walikwisha kujuwa kuwa Qadhaffi atapatwa na Dhahama miaka mitatu iliyopita nyie hamkuwa tayari kusikia wala kuamini kama ni jambo lianalowezekana leo jua limechomoza ndio mnashangaa watu walijuwaje? Usingizi kila mahali.

Watu mliopanga kuandamana US msiogope sauti za wapuuzi wachache onyesheni hisia zenu kwa sauti kuu, hii nchni siyo ya baadhi yetu ni yetu sote. Hakuna sheria mnavunja kuonyesha hisia zenu, hayo mnayotaka kusema siyo siri yanajulikana kila kona ya Dunia watu wanasubiri saa na siku.

Blandesi nakushauri kazi ya iwe kuchuwa maoni yaliyo katika mabango na kuyatafutia majibu kama unaamini katika serikali ya watu kwa ajili ya watu. Leo hii humu mnataka kusema wananchni hawana uhuru wa kusema makosa yenu kwasababu gani? Umelala tu!
 
<font color="#ff0000">mbinu za kanisa </font>kwa ****** zitagonga mwamba kwani ukiwa na akili kwa nini ****** munamuonea bure haya yote ni munataka atoke basi mpaka mwisho kieleweke nanyi wa huko marekani amekuja mara ngapi au ndiyo ni mashauzi yenu sasa fanyeni hivo muone,<br />
Go to hell all who hate ******.
<br />
<br />
nenda shule kwanza ndio uje hapa! Elimu dunia uliikimbia wewe!
 
...Wewe toa ushenzy wako hapa....diaspora yenu maana yake nini....wanafiki wakubwa kujikombakomba tu na njaa zetu hakuna lolote..!! Tunawajua janja zenu na jinsi mnavyotumiwa, na hao magamba na kupata upendeleo wa vijikazi uchwara na wengine mmeahidiwa nafasi...Wewe mpuuzi km huyo aliyejipachika jina la mwesigwa........ adabu kakosa nani haswa watu wanakula pumba, wanashinda gizani mafuta hakuna..... halafu na huyo rais yupo anajichekesha chekesha, hajui kwa nini nchi ni masikini.....lakini anakimbilia kutoa msaada wa chakula Somalia...!! Diaspora my....... si nyie ndo wale wale majizi (bado mnatafutwa na wamwela wa MD...kwa kukomba hela, kutolipa mishahara ya wafanyakazi) mlioiba pesa na kununua tundege through Ebay (tena parts aka kwa mafungu), na kuja bongo kwa mbwembwe saana na huyo msanii mwenzenu Nyalandu akazizindua kwa manjonjo ohhh mzalendo kawekeza nyumbani.....pambaf leo hii ndege zipo wapi hata miezi 6 haijapita..... ile moja ilitua juu ya mipapai, ile nyingine nasikia sasa imejaa nyumba za manyigu...!!

Nchi ameiharibu, lakini kila kukicha mnakimbilia masifa nje, na mikukuta yenu na kugawa ardhi kwa makabwela kila siku huku mkiimba na kufagilia huo upuuzi wa kilimo tatu...... na huyo sijui mama wa Un kila siku yupo bongo anazindua vitu ambavyo vinajulikana. Tunajua janja na kampeni zimeanza tayari si na yule kibyongo kashatia timu bongo....!! Si huyo lasi wako alikuwa analia lia eti hasifiwi.....mtu gani mwenye akili timamu ulishasikia analilia kusifiwa..!!

Aje asije shauri yenu maandamano yapo pale pale na lazima dunia ijue huyu kigulu na njia nchi imemshinda na hana jipya zaidi ya usanii na fiksi za kila siku na kutembeza kikapu...! Tena tutatoa na mabango na data za huyo jangiri rzone na dili zake na wauza meno ya tembo wale wanaojifanya wanazalisha maziwa kule kwa wanyalukolo.
Jamani tuanaomba tufanye mkutano wetu wa diaspora bila siasa kama kuna siasa pelekeni ubalozi wakati raisi atakapokuja au nendeni UN NY lakini msije kwenye Hotel ambayo sisi tumelipia na tukaalika wageni mbalimbali halafu ibadilike kuwa sehemu ya maandamano!. Mwaka jana tulifanya mkutano MN bila mambo kama haya na raisi hakuwepo na kama maandamano yatakuwepo tutamuomba raisi Kikwete asije kwenye Hotel ya mkutano wa diaspora kwani si lazima tuwe na raisi pale raisi hajawahi kuja kwenye mkutano hata mmoja!. labda hilo litawafurahisha lakini kama ni maandamano ningeomba mpeleke UN kwani huu mkutano wetu wa diaspora tunaweza kumuomba raisi asije na nyie mkawa mmepoteza pesa zenu bure!!. Kama mnataka uhakika nendeni UN siku atakapoongea mtampaka kwa uhakika kwani sisi hatutaruhusu raisi aje kama kuna maandamano ya kisiasa!!
 
mbinu za kanisa kwa ****** zitagonga mwamba kwani ukiwa na akili kwa nini ****** munamuonea bure haya yote ni munataka atoke basi mpaka mwisho kieleweke nanyi wa huko marekani amekuja mara ngapi au ndiyo ni mashauzi yenu sasa fanyeni hivo muone,
Go to hell all who hate ******.

Bado upo kwenye shimo na giza pole sana.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nenda shule kwanza ndio uje hapa! Elimu dunia uliikimbia wewe!
<br />
<br />

Huyu mwesiga akiwa na njema, basi mwaka huu mkewe kapata uthibitisjo mumewe alivyo mjinga. Hii ndo dawa ya watu vimbelembele vya kujikomba. Safi sana
 
Yaani mnaficha maovu yake? Kumpongeza kwa lipi? Labda kwa kuwa mtanzania anayesafiri kuliko wote! :(

Actually hii yakumpongeza inaweza pia kuwa good move (ikawasaidia zaidi wale wanaompinga) why: JK akijua atapokelewa kwa maandamano yakumpongeza atakwenda US; na hivyo atakutana na kundi la wale wanaompinga vile vile (including mabango yenye message).

Ofcourse kwa sheria za marekani hawezi kukamata mtu au kutumia nguvu ya dola; so lazima yamkute ya upande wa pili (kusoma message za protesters). Tena wapambe wa JK kutoka Tz wasije wakaingia kichwa kichwa waka-put their hands on someone unless huyo mtu ame-disturb peace e.g. kuleta fujo or else wanajitafutia lawsuit.

Am sure international org zitakuwa curious kuhusu messages za protesters and want to dig deeper. Na hapo ndipo the world will know pumba ni zipi na mchele ni upi. Zaidi ya yote Opportunists "wanaotengeneza documentaries" wameshapata kazi ya uhakika.
 
<span style="font-family: Arial"><font size="2"><font color="#000000"> <span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita <b>Eliakim Mallya</b> na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba </font></span><span style="font-family: Arial"><font size="2"><font color="#000000"><span style="font-family: Times New Roman"><font size="3"><font color="#ff0000"><b>imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe</b></font></font></span></font></font></span><span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.</font></span> <br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Mwesigwa. Blandesi</font></span></font></font></span>
<br />
<br />
mwesigwa,unahitaji kuwa milembe sa hv!yaani nani anajivunia kuwa mtanzania?mtanzania ajivunie nini umaskini?maisha ghali?elimu duni?kukosa basic needs?ni wapi maji umeme supply ni nzuri ikulu?wizi wa viongozi wa serikali?mafuta?wizi wa madini ye2?wizi wa wanyama pori?ardhi kupewa wazungu ni vigogo? anybody who says mtanzania anatakiwa kujivunia shida tulizo nazo hana akili,mshenzi, na amelaaniwa yeye na uzao wake,stupid leaders talking about peace?u a proud of having coward citizens big loosers and cursed creatures in the world,
 
Nashangaaa watu wanaunganishaje Diaspora na Maandamano, wakitaka maandamano yajulikane dunia nzima si waende huko NY ambapo CNN, FOX nk watakuwepo kwa mkutano wa UN ? , watu tunaohudhuria Diaspora hatuna habari na Maandamano yenu hayatuhusu sisi tunakwenda kwa 50 zetu za mkutano , mjuane huko huko na huyo Kikwete akiingia tunampokea akitoka nyieee mzomeeeni tuu mnavyotaka sisi halituhusu, wengi wetu hatuuudhuri maandamano yeyote ya kumpinga wala kumsupport tunakuja hotelini tunaanza shughuli kama ilivyokuwa Minnesota tunamaliza hao Airport <br />
<br />
Na wewe wa kumsupport msapoti huko huko NY kwako na makundi yenu sisi tumekaa mkao wa kibiashara na maendeleo sio mkao wa &quot;Flames&quot; &quot;Flames&quot;, mumletee na mdundiko wa kumsuta au kumsupport kama mna hasira sana
<br />
<br />
sitaki kuamini unasahau haraka hivyo ulikotoka?how can u say this crap a u a human being ur mother n relative if they die due to electricity shortage in hospitals or lack of fuel to take them to hospital then u wont ever speak this shit,think beyond ur nose,damn how did u even get to usa with this little brain?
 
Mkuu Mlalahoi, aliyeandika kauli hiyo ya kifedhuli na isiyo hata na chembe cha ustaarabu ni huyu hapa;<br />
<br />
<font color="#510000"><b>Mr. Mwesigwa Blandesi, </b> <img src="http://www.uzalendo.org/images/buttons/frame_mwesigwa.JPG" border="0" alt="" /><i>Chairman of the Organization and the Board of Directors</i> Mwesigwa Blandesi is one of Tanzanian Community Organization’s founding members. He was elected Chairman of the Organization right when it was founded, and then lead a team of selected members that drafted its bylaws. </font><font color="#ff0000"><b>He has guided the organization since it was founded in 1995 to the present day.</b></font><font color="#510000"> Upon the formation of the organization’s Board of Directors, he was also elected Chairman of the Board. His focus has been on building the organization by attracting new members and retaining existing ones, by consistently defining and promoting the organization’s core aims.</font> <br />
<br />
Email ya Mwesigwa Blandesi ni <a href="mailto:BUGWE@aol.com">BUGWE@aol.com</a> Ingefaa kama wote ambao hawakupendezewa na kauli yake wamtumie ujumbe kupitia hiyo anuani.
<br />
<br />
He has guided the organization since it was founded in 1995 to the present day. Duh! Mambo kama ya akina TAYOA et al.
 
kuna jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha rais jk anapokewa kwa heshima atakapokuja washington. Watanzania mnaombwa kushiriki kwa wingi ktk ubalozi wa tz uliopo washington dc kumpa support na changamoto rais jk ambaya alishinda uchaguzi 2010. Wtz mliopo marekania mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa support rais jk.

Mpenda haki, na ukweli.
Ny, usa

bonge la fisadi... Kama unaweza kudiriki kusaliti jitihada za vijana wenye uchungu na nchi wanaotaka kupinga ujio wa kikwete....then i can confidently conclude that wewe ni fisadi unayenufaika kwa uongozi wa kikwete.

Kuna siku mtajutia hujuma mnazozifanya na wenzako kwa watanzania walio wengi kuna siku watu watachoka ndipo mtakapo lilia duo citizenship ili muendelee kubaki huko marekani.

Katika principle za demokrasia, neno uvumilivu lina mwisho wake, just keep that in mind!

Mtatunyang'anya viatu mpaka soksi lakini hamwezi kutunyang'anya viganja vya miguu!
 
Jamani tunajua shida za Tanzania na si kweli kwamba kuna wana diaspora waliohaidiwa chochote lakini kwa mawazo yangu fanyane maaandamano UN JK atakapo hutubia sio DC kwani tuna mambo muhimu ambayo tunataka kuongelea kwenye dispora meeting. Kikwete sio lazima aje na kama maandamano yataendela basi tutamuomba asije kwenye mkutano wetu wa DC kwani Kikwete hasaidii lolote kuja kwenye mkutano lakini mkutano ni lazima tufanye.

Huu mkutano kama nilivyokuwa nafikiria ni mawazo mabaya kuchanganya na ubalozi kwani watu wanaanza kufikiria ni mkutano wa serikali si kweli huu ni mkutano wa Watanzania na Wamerakani wenye nia nzuri waishio huku na mgeni wa Tanzania kama mwaka jana alikuwa katibu mkuu kiongozi aliongea dakika 30 tu.

Kuna watu wa vyuo, Mkuu wa miradi ya barabara ya millenium challenge, representative wa USA wa kanda ya mashariki kutoka kwa mama clinton, representative wa world bank, IMF, n.k hivyo kama kikwete ataleta drama ni bora asiwepo!. Mimi sio mshabiki wa Chama chochote kile lakini kwa mawazo yangu ningeona ni vizuri watu kuandamana UN na sio DC hii pesa ya mikutano tumelipa sisi na si serikali!!.

Serikali ni mwalikwa mmoja tu kati ya wengi! hata kama tusipokuwa na kiongozi wa bongo poa tu
 
1. Ari mpya
2. Kasi mpya
3. Nguvu mpya
4. Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania
5. Ari zaidi
6. Kasi zaidi
7. Nguvu zaidi
8. Tumethubutu, Tumeweza na Tunasonga Mbele....!!!!!??????
Matatizo juu ya matatizo!
 
<br />
<br />
sitaki kuamini unasahau haraka hivyo ulikotoka?how can u say this crap a u a human being ur mother n relative if they die due to electricity shortage in hospitals or lack of fuel to take them to hospital then u wont ever speak this shit,think beyond ur nose,damn how did u even get to usa with this little brain?

Hahaha umeshataarisha mdundiko !!!!!! , sisi wengine uzalendo wet ni tofauti na wako wakujidangaya sijui maandamano ya kumsupporti au kumpinga , hamna tuu kazi za kufanya watu waliotulia wanajua mahali na wakati wa kila jambo sio kukurupuka tuu Kama nyie mnaofikiria kama masaburi , watu tuliokuwepo diaspora mwaka Jana tulikutana na hao viongozi na kuwaeleza ufisadi wote USO kwa USO na mambo mengine yameshaanza kutekelezwa , nyie baada ya kujanijibu kimya kimya diaspora na muwavamie huko huko ohhh maandamano ya kipuuzi unafikiria nani atawasikiliza nyie eti raisi anyimwe viza shauri ya vijimambo petition vyenu au hela za kujisajili na kukaa hotel zinawapa tabu sana

Maamzalendo sijui mamnani pig kwanza chafya kabla yakuandika
 
kikwete ni kimeo, yeye kila siku angani akitua kidogo masaburi yanamuwasha anapaa tena, yaani sijui tumnyweshe dawa gani aache kuzurura loh!
 
I real want to see this hapo DC. Najua sisi tulio Tanzania tunahakikisha harudi tena hapa Tanzania na nyie wajinga mlioko huko US mnataka kumpokea kwa wizi wake wa kura na fedha za wananchi sio. Hayo maandamano yenu tunataka balozi atangaze rasmi kwani si tunajua ni kipenzi chake kwa kumpa kazi ya ubalozi US.

Huyo mama si unajua huko ndani ya ccm wanapigania hizi post za kufanya mahali kama US na UK hivyo yeye kahakikishiwa ana posho kubwa na percent katika kila deals za kikwete, Idd Simba na Rostam huko US.

Bring it on na nikifanikiwa kutoka lazima niwe DC kuwasha moto kwa kikwete anayesafiri na tax money yangu. Hata aibu huna, unatumia vitu vya bure kwa kutumia njia ya wizi wa kura kujilazimisha kama raisi wa Tanzania wakati huwezi ku-explain 20million voters ni wakina nani mpaka leo hii.

Hata ushahidi huna wakuonyesha hadharani ulishinda hizo kura wahuni wenzio waliokupa. Wananchi tunamtambua Dr Slaa ndio raisi wetu hata kama ukiendelea kutumia katiba yenu na ffu wenu. Watanzania hawana hata ndege moja ila wewe kikwete huoni hata aibu kurusha na kuwasha ndege kumwaga mafuta wakati wananchi hawana mafuta ya kutumia kwa ajili ya huduma za umeme mahospitalini, majumbani na hata usafiri wa kupeleka wagonjwa kwa ajili ya huduma?

Thats why we think kikwete ni incompetent, corrupt, arrogant and everything above... nani angempigia kura binadamu wa namna hii?

By the way kikwete hufiki 2015 Kuna jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha Rais JK anapokewa kwa heshima atakapokuja Washington.

Watanzania mnaombwa kushiriki kwa wingi ktk Ubalozi wa TZ uliopo Washington DC kumpa Support na changamoto Rais JK ambaya alishinda uchaguzi 2010. WTZ mliopo Marekania mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa Support Rais JK.

Mpenda Haki, na Ukweli.
NY, USA
 
Back
Top Bottom