OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
ni kwa sababu wakishafukuzwa uwaziri wanabaki huru kuendelea kutanua na zile walizoiba ingekuwa leo umetimuliwa kesho upo lupango kesho kutwa mahamani huu ujinga wa maandamano ya kupongezana kwa kuuibia serikali ungetoka wapi??ila habari ya simba sio ya kisiasa acha kuchanganya mambo mazee!!Huu ujinga unaotaka kuota mizizi kwenye nchi hii usipokemewa, adui umaskini na maradhi itakuwa ngumu sana kupigana nao, maana nilishangawa kuona mashabiki wa Simba walipokwenda uwanja wa ndege na matarumbeta kuipokea timu yao eti imetolewa kiume kule Sudan!! huu ni zaidi ya ujinga.