Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kauli za Mheshimiwa PM Mizengo Pinda na Waziri Ofisi ya Raisi "TYSON"......................zinathibitisha ya kuwa CCM ina hofu kubwa ya kuondolewa madarakani kwa maandamano kutokana na hoja zao za "madongo kuinama" kuwa wapo madarakani kwa mujibu wa misingi ya kidemokrasia kuonekana si za kweli hata kidogo hususani kutokana na nchi kama Misri ambako chama tawala kilikuwa kinamiliki asilimia 97 ya viti vyote Bungeni lakini sasa imethibitika ya kuwa ni udhaifu wa taasisi za utawala bora nchini humo ndizo ambazo zilikuwa zikiwahakikishia ulaji serikalini....................................na hivyo kushika hatamu kupitia dhuluma dhidi ya matakwa ya wapigakura.................
Pinda alipokuwa anaahirisha Bunge alikemea maandamano ya wanafunzi na kudai ni uvunjaji wa sheria.........................................huku "TYSON" naye akishutumu wale ambao aliwaita ni wavunjaji amani watachukuliwa hatua za kisheria............bila ya huruma yoyote ile.......
Well, Pinda and "TYSON".................we did not elect you in the first place to be our leaders...................then where that legitimacy to loot our constitutional rights of willful assembly is hailing from.........................
Haki ya raia kukutana ni ya kikatiba sasa hizo sheria zenu za kubinya haki hizo wenzetu mmezitoa wapi? AND, why now is CCM very apprehensive?????????????
The wind of democratic and economic reforms sweeping North Africa and the rest of Middle East is coming home to roost CCM alive for every imaginable and unimaginable crimes against humanity committed by TANU/ASP/CCM against the people of Tanzania since independence..............................and there is no one who can stop history from manifesting itself before our very eyes..........................
Pinda alipokuwa anaahirisha Bunge alikemea maandamano ya wanafunzi na kudai ni uvunjaji wa sheria.........................................huku "TYSON" naye akishutumu wale ambao aliwaita ni wavunjaji amani watachukuliwa hatua za kisheria............bila ya huruma yoyote ile.......
Well, Pinda and "TYSON".................we did not elect you in the first place to be our leaders...................then where that legitimacy to loot our constitutional rights of willful assembly is hailing from.........................
Haki ya raia kukutana ni ya kikatiba sasa hizo sheria zenu za kubinya haki hizo wenzetu mmezitoa wapi? AND, why now is CCM very apprehensive?????????????
The wind of democratic and economic reforms sweeping North Africa and the rest of Middle East is coming home to roost CCM alive for every imaginable and unimaginable crimes against humanity committed by TANU/ASP/CCM against the people of Tanzania since independence..............................and there is no one who can stop history from manifesting itself before our very eyes..........................