CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,420
- 1,920
Na nyongeza yenu RC ndie Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, ambapo RPC ni mjumbe tu ! Boss nani hapo ??????
Bosi huyu hapa.........na bosi wake yuko humo ndani na matunguli yake