Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
Bado tupo barabarani,tupo kati kati ya safari.
Safi sister!mpaka kieleweke,hakuna kulala!Bado tupo barabarani,tupo kati kati ya safari.
Bado tupo barabarani,tupo kati kati ya safari.
Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.
Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.
nYIE WAJINGA MABOOM YANALIPUKA KWA UZEMBE WENU HALAFU MNATULETEA UPUMBAVU WENU HAPA PUMBAVU ZENU CCM! nFedha iliyotumika kwa ajili ya haya maandamano ingewafaa sana wakazi wa GONGO LA MBOTO, maslahi ya Taifa kwanza.
Watendeeni wema watanzania na wao wataendelea kuwapenda na kukumbuka mema mliyowafanyia hata mtakapokufa wataendelea kuwakumbuka!Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
MPUMBAVU NAKUONA NA UPUMBAVU WAKO! nNa hiyo ndiyo achievement pekee mtakayoipata toka kwenye hayo maandamano; kushangiliwa na watu "wa kawaida".
Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.