Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio

Kumbe unabisha wakati ukweli unaujua. Akhsante sana. Ukiongea tena zaidi ya hapa utaharibu, nakushauri ukae kimya ndugu umeongea point nzuri kuliko point zote zilizotolewa kwenye thread hii. Big up.

Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.
 
Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.

Ndo mana nakwambia unajibishia mwenyewe.
Chama cha Magamba ndicho kilichowafikisha hapo walipo. CDM inafanya kazi ya kuwafahamisha ukweli huo ili waamke na kutetea rasilimali zao. Na hiyo ndiyo hoja kuu ya maandamano.
 
Fanyeni yale ambayo CCM hawafanyi. Kwa mfano baada ya maandamano ya leo mngekabidhi madawati 500 jimbo la Mh Sugu. Mnaandamana tu utadhani NGO!

Haya ni mawazo ya ki CCM na hasa malaria sugu, GOP au Conservative wamewahi kutoa msaada kwa nani kwa miaka yote 150 ya uhai wake. Si kazi ya vyama vya siasa kuanza kugawa madawati au pipi. Hii kazi ina wenyewe na kazi wameshindwa sasa unataka chadema waingilie kuokoa jahazi. Kazi ya CDM ni siasa mzee kama unasubiri lawyer aje akutibu kitandani unaumwa nakwambia ndugu yangu wewe subiri kufa tu!

Na nchi hii inaelekea huko huko
 
Amani itawale katika maandamano. Ili wenye magamba wasipate visingizio.
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamefanikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano
 
Mwaka wa kuzaliwa! Tumekusamehe umri wako uko sawasawa na mawazo yako.

Sio mwaka wa kuzaliwa! Mimi mzee bwana. Wala umri sio hoja. Mwalimu alikuwa Rais wa TAA na baadae TANU mwaka 1953 akiwa na miaka 31 tu.
 
Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.
Swala la uhamasishaji na ukuzaji wa ufahamu kwa wananchi ili waweze kufahamu umuhimu wa wao kudai haki zao ni la msingi sana,wewe mwenyewe unaona wananchi walivyo na hasira hata kwa vitu vidogo,sasa wakiwezeshwa kutumia njia ya amani ya kudai haki zao huoni kwamba ni jambo la msingi Willcard
 
Acha wivu mkuu. Acha wananchi waelimishwe kupitia maandamano na mikutano. Hongera CHADEMA.
 
Ruzuku hii inatumikaje ndio concern yangu na Watanzania masikini wa nchi hii ambao baadhi wanaandamana huko Mbeya bila hata kikombe cha chai tangu asubuhi ya leo na hata kesho baada ya maandamano haya.

We kijana wa 1986! ukipewa fedha ya kununua chungwa unanunua chungwa ukinunua panadol basi wewe ni mhuni kama ccm. CDM wamepewa hela ya kuendasha chama wewe unataka waanze kujenga nyumba. Any way ndiyo mawazo ya CCM hayo ruzuku yao wanatumi kuanzisha uasalama wa chama ambao wanauattach na wea taifa. Chuo chao kipo bagamoyo na hao usalama wao wanaua watu kwa fedha hiyo ya ruzuku . Unataka CDM nao waende njia hiyo....................Gharasha?
 
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.
Hivi sasa ndo tumetoka kuzindua tawi la wanafunzi chuo kikuu cha Teofilo Kisanji.Tunaelekea kuzindua Ofisi yao Majengo tukitoka hapo tunaendelea na maandamano kuelekea uwanjani.Watu ni wengi sana.Aluta Continua.
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamenifikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano
Ritz ni haki yao ya kikatiba ili mradi hawavunji sheria na hakuna anayelazimishwa yule anayeona yuko kazini au shambani hata shiriki maandamano
Swala la allowance sidhani Chadema wanauwezo wa kulipana fedha nyingi kiasi hicho wenyewe wanajijua ,hawana fedha za kuchezea ndio maana safari ya kanda ya Ziwa ziligharimia kwa michango ya wabunge kama mchango wao kwa kukijenga chama chao,na gharama ya shughuli yote iliwekwa wazi kwenye vyombo vya habari walisema walitumia shilingi millioni 19
 
Haya ni mawazo ya ki CCM na hasa malaria sugu, GOP au Conservative wamewahi kutoa msaada kwa nani kwa miaka yote 150 ya uhai wake. Si kazi ya vyama vya siasa kuanza kugawa madawati au pipi. Hii kazi ina wenyewe na kazi wameshindwa sasa unataka chadema waingilie kuokoa jahazi. Kazi ya CDM ni siasa mzee kama unasubiri lawyer aje akutibu kitandani unaumwa nakwambia ndugu yangu wewe subiri kufa tu!

Na nchi hii inaelekea huko huko
Nawambieni CHADEMA msipoonyesha kwa vitendo kufanya yale ambayo CCM yamewashinda, watu wa kawaida watashindwa kuwatofautisha nao. Maandamano hata CCM wanayaweza sana. Onyesheni kwa vitendo na kauli zenu kwamba mnaweza kuyabadili maisha ya Watanzania hata kwa ruzuku hii ndogo mnayopata.
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamefanikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano

Du chama cha siasa kinashauriwa kiache siasa. CCM imeanzisha shirika lake la ujasusi kwa hela ya ruzuku hilo mnaona ni sawa
 
duh i hardly believe kama haya yanatoka kwa raia wa tanzania wa karne hii......kazi tunayo....cjui kwa nn nimesoma hii post,it has made ma day bad...
 
Hivi hawa Chadema sisi Watanzania tunawashangaa sana kila kukicha maandamano, saizi watu wapo makazini, viwandani, mashambani, wao wapo barabarani wanafanya usumbufu kwa Watanzania, wanatumia vibaya pesa zetu walipa kodi 'ruzuku' wanagawana posho kila baada ya maandamano. viongozi wa juu Dk Slaa na wenzake kila mmoja poso yake milioni mbili, hawa wengine kina Lema na wenzake milioni moja, huyo dada mbunge wa kupewa wa maandamo Regia Mtema yeye na wenzake laki tano, huyu dada yeye kila kukicha kiguu na njia kwenye maanamano, hili swala Zitto akubaliani nalo ndio maana umuoni kwenye maandamano yao, Chadema wamefanikiwa lakini kwenye maandamano kimekuwa chama cha kwanza dunia kufanya maandamano mengi wastani kila mwezi wanaitisha maandamano. wamo kwenye Guinness book Record in the World, chama cha maandamano

Serikali inatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kwa ajili ya kufanyia kazi gani? Si lazima zitumike ili waweze kutoa mrejesho kwa ajili ya ukaguzi?
 
Hivi sasa ndo tumetoka kuzindua tawi la wanafunzi chuo kikuu cha Teofilo Kisanji.Tunaelekea kuzindua Ofisi yao Majengo tukitoka hapo tunaendelea na maandamano kuelekea uwanjani.Watu ni wengi sana.Aluta Continua.

Kwa wanafunzi mmekwisha wawini. Matawi mnafungua sana kisha mnayatelekeza. Ruzuku yote kwenye maandamano na uendeshaji makaomakuu!
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom