Andengenye aliruhusu hayo maandamano, shida ni shemeji wa Jk IGP mwema ndiye ameyafuta......
kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya, nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria!Uthibiti wa nguvu tu, ulinzi mkubwa..
I hate this Andengenye puppet!...!Majitu yako na profession zao lakini wanapelekeshwa na wanasiasa...
Hivi kazi ya polisi ni kulinda amani au kutumikia wanasiasa?...
Syphilized minded...YOU aNDENGENYE!
kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya, nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria!
Mdau usifanye hivyo unamkosesha uhuru wake wa kutoa maoni. Hebu tujenge tabia ya kuheshimu mawazo ya wengine na kuvumiliana! Samahani kama nimekukwaza huu ni mtazamo wangu