Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Leo nimeona CCM wakifanya Maandamano Singida wakiwa Katika Ziara ya keelezea Kujivua Gamba
Kwa Nilichokiona Katika yale Maandamano hakika naweza Sema kwamba Kweli CCM ni Chama Kikongwe na Wanachama wake wengi ni Vikongwe na Kutokana na Hilo KINAELEKEA Kaburini.
Buriani CCM
Kwa Nilichokiona Katika yale Maandamano hakika naweza Sema kwamba Kweli CCM ni Chama Kikongwe na Wanachama wake wengi ni Vikongwe na Kutokana na Hilo KINAELEKEA Kaburini.
Buriani CCM