sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
Serikali hii imekuwa ikiwatumia wabunge wa chama chake ambao ndio wengi bungeni kutetea hata mambo ambayo hayatuingii akilini. Wabunge hawa wanafumbia macho ukweli kwa vile wanafaidika na mfumo huu nyoyaji na wanaogopa kukosa ulaji.