Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
Wenyeji na wageni wote humu tuitishe maandamano nchi nzima kudai maslahi bora ya jeshi la polisi ikiwa ni pamoja na makazi bora, wapandishwe vyeo, marupurupu zana bora za kupambana na majambazi, kupewa fursa ya kwenda kusoma kuongeza elimu even abroad.. Maandamano hayo yafanywe na raia wote! Watatupiga MABOMU??? Karibu uchangie kwani wame2onea sana vya kutosha hasahasa hapa A-CITY.