Mbeya tutafika tu huko si muda mrefu. Inatupasa kwanza kutathimini ufanisi wa maandamano hayo baada ya yale ya Kagera. Ili kubaini strategy nzuri zaidi ya kufikisha ujumbe sahihi kwa wapiga kura wetu nchi nzima juu ya udharimu wa CCM na viongozi wao. Hivyo Mbeya pozeni majeshi kwanza twaja huko si-muda mrefu. Nadhani Mwakyembe, Mwandosya nao wataungana nasi bila SHAKA.