Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Nimeongea na jamaa yangu ametoka vijijini lalago maswa.Kaniambia umati uliopo haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa Maswa, watu ni wengi sana ni bahati mbaya hawezi kupiga hata picha akaturushia kwani ni mchunga ng'ombe tu lakini kaamua kutoka kijijini kuja kuhudhuria maandamano na kumuona Rais wa watu asiye na ikulu.Kanieleza mji wa maswa umefurika haijapata kutokea.SAA YA UKOMBOZI IMEFIKA WAJAMENI HATA WA VIJIJINI WAMEJUA HAKI ZAO!!!!!!!!!!!
Please mwenye uwezo wa kutuma picha afanye hivyo kwa mliopo ktk msafara.
Please mwenye uwezo wa kutuma picha afanye hivyo kwa mliopo ktk msafara.