Maandamano makubwa

Halafu utaona wale wapuuzi wanaoishi kwenye vibanda vya kuku au vya Mbwa wanaojiita FFU wakianza kupiga watu! Yaani wale jamaa hamnazo kabisa kama uharo wa bata
 
Mkuu unafiki umeanza lini ? Chadema hawana haja ya kuandamana ili wakubalike au wapende chart .Katiba ni ya kila mmoja wetu si Chama wala nini taasisi za dini mkuu .Wewe ingia baranarani kwa jina la Tanzania iacheni Chadema kwa hili .
tokea lini magamba mkaandamana mkuu! maandamano ni kwa wanaodai haki kaka!!
 
Tunaelekea kwenye utamu, waliokuwa wanajadili hapo Blue Perl Hotel leo wametoa tamko lao. Tuwasubiri hao wapumbavu tuone watafanya nini hapo kesho kisha tuwe pamoja kwenda mbele na kudai haki zetu kwa nguvu zote.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu unafiki umeanza lini ? Chadema hawana haja ya kuandamana ili wakubalike au wapende chart .Katiba ni ya kila mmoja wetu si Chama wala nini taasisi za dini mkuu .Wewe ingia baranarani kwa jina la Tanzania iacheni Chadema kwa hili .
Siku hizi kila tukio wanasema ni chadema na Hilo Watasema ni chadema.
 
tokea lini magamba mkaandamana mkuu! maandamano ni kwa wanaodai haki kaka!!

Dogo umekuja bila tafakuri.. Hadi lunyungu nae unadhani ni ccm. Nakushauri uwe unatumua busara kujenga hoja, wengi walikuja hivyo na matusi na kudandia treni kwambele
lynyungu is never magamba
 
yani serikali yetu hata mamabo madogo kabisa wanataka kuyayumbisha, suala la kusoma kwa mara ya kwanza ndo tunalotaka ili kila mwananchi aweze kupata nafasi yake katika kupitisha muswada. tanzania vipi jamani
 
hivi kwa nini tusianzishe utaratibu wa kuwaua wote wale wanaokwenda kinyume na maslahi ya nchi yetu?

hapo umenena bila adhabu ya kifo kwa hii nchi hatufiki, yani nchi inanuka kuanzia baba,mama hadi mtoto.
 
kuna mama mmoja kaongea kwahisia sana.....ila ngoja kesho wakikurupuka kuipitisha wataona cha mtema kuni
 
mswada ukipita naenda kujipiga moto ikulu,.kama kuna mwanaharakati yoyote yupo tayari kumtunza mke wangu na mtoto mmoja anipm

Mkulu ebu naomba unikabithi funguo za benz pamoja na hati ya nyumba manake najua mwishn wako umefika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom