Maandamano makubwa ya wananchi siku ya jumatatu

Baada ya kuondoa National Services vijana wa sasa waoga hawawezi tena kuandamana. Nakumbuka enzi yetu pale hill mkinuia kitu ni shurti kiwe.
 
wakisema "Maandamano Makubwa ya Wananchi" inakuwa kama aina fulani ya exaggeration maana moto mkubwa daima unaanza na cheche.
Cha msingi hapa wapeni wananchi mpangilio alafu pale tutakaojitokeza kwa wingi ndio hicho kicho kiweze kuwa. Ukisema makubwa wengine wataona hakuna haja ya kwenda maana tayari ni makubwa
Sina hakika kama hayo maandamano yatafanikiwa!
 
Mandamano tu hayatoshi mafisadi wafunguliwe mashitaka the Hague for condeming Tanzania to abject poverty leading to mass early death which can easily equate to crime against humanity.
 
Sio siri...This is the right time......kama sio sasa basi hakuna wakati mwingine wa jambo hili....its too much
 
Wa-TZ kwa porojo hatujambo! Nani ataweza? Tuliwasikia hata jukwaa la katiba kuandaa maandamano yasiyokoma, lakini uliwaona? Watu wanaongea mpaka mapovu yanawatoka, wapi bwana!
 
Ningeshauri hizo sms zisambazwe kwa kila mtu ili tuing'oe serikali dhaifu madarakani ya CCM.
 
i was waiting 4 this moment,was was wangu ni kwa wale wapenda kofia na t shirts za rangi ya majani na yeboyebo
 
Hizo ni porojo tu mambo ya vijiweni mnaleta humu ndani tusidanganyane bana!
 
Tatizo kuna mambo si yakuyaombea sana sana ila nadhani kuna Njia sahihi na kupata ukitakacho...

Hoja je hayo maandamano yatatoa majibu ya matatizo yetu watanzania...
???????
Hii Amani ikishavurugika gharama ni kubwa kweli ni km vile wanosema ukianza kula nyama ya Mtu huwezi kuacha....think
 
maandamano huanza taratibu na pengine watu au maeneo machache sana,lakini hushika kasi kadri muda unavyosonga baada ya watu kuzoea hali halisi,watu tunahitaji sana maandamano kwani maisha tunayoishi ni kama tuko ktk maandaano tu,hatuwezi kuijenga nchi yetu kabla ya kuibomoa kwanza,ndio kanuni ya ujenzi.tunahitaji watu wa kuwatia vijiti ktk masaburi.basi na isiwe masihara tufanyeni kweli bana.

Nimeipenda hii
 
Ndugu yangu hili tangazo linaweza kutia watu matumbo joto, badala ya kutafuta pesa kkwa ajili ya kurekebisha hali ya hospitali zetu na kupoza madakitari warudi kazini, utawafanya viongozi wa Serikali kuagiza Malori mengi ya maji washa na mabomu ya machozi mengi. Pesa ambayo ingelisaidia kurekebisha baadhi ya mambo hata kulipia deni la matengenezo ya ndege ya Raisi.

Viongozi wa Tanzania wanajipanga vizuri sana katika maandamano, kuliko katika kutatua kero za wananchi.

Sasa ndugu yangu hili tangazo lako litatuletea balaaaaaaaa!!!!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

U deserve a certificate of being a great thinker!!
 
Back
Top Bottom