Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,078
Sio kila ugonjwa unaofanya watu waende India unahitaji CT Scan.Wagonjwa wanapelekwa india kwakuwa hospital hazina vifaa mfano Muhimbil hakuna Ct scan..rudishen lesen zao ili muone mbona mnazing'ang'ania si mtafute za kwenu sasa