Maandamano makubwa ya Madaktari yaja (wiki ijayo)

Kila la kher madaktarii, ila la kushtakiwa Namala wawasiliane na wanasheria kujua nini impact ya maandamano ya kulaani kushtakiwa kwake na case bado iko mahakamani msije kuingia katika matatizo mapya na mahakama.
 
Chama cha madaktari Tanzania-MAT kimeitisha maandamano makubwa dhidi ya serikali wiki Ijayo.Maandamano hayo yataanzia Hospitali ya Muhimbili mpaka wizara ya Afya.
Sababu kubwa ya maandamano ni kulaani tukio la kupigwa mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari Stephen Ulimboka.Pili wanalaani kufutiwa usajili madaktari wanafunzi-Interns.Tatu wamesema madaktari bingwa wameanza kuacha kazi na wengine wanahangaika kutafuta kazi nje ya nchi.Pia wamelaani kufunguliwa mashtaka kwa Rais wa MAT Namala Mkopi.Katibu Mkuu wa MAT amewaomba Watanzania wote wenye mapenzi mema kujitokeza kwa wingi siku ya.maandamano ya madaktari ili kuwaunga mkono.

Source:CHANEL TEN
Sasa naona professional imewekwa pembeni na sasa wameingia rasmi kwenye siasa am now conviced that kuna pressure nyuma Yao. Dr mkopi chonde chonde now simameni wenyewe katika maamuzi cz kuna watu wataumia na Hawana pa kwenda sio kweli Kwamba Nyie wote mtapata kazi Botswana kuna watu udactari tu wa hapa tz unafanya a no of people to depend on them mi nazan madactari sasa mfanye maamuzi yatakayo Linda professional yenu achaneni na siasa.

Kikubwa hapa ndugu zangu madactari fanyeni maamuzi ili kuokoa professional yenu Maandamano hayawezi kuleta tija yoyote ile katika taaluma yenu tunajua uzalendo kwetu ss wanna hi wa Hali ya chini hamna bt fanyeni reasonable decision kuokoa taaluma yenu mnachowaza sio sahihi hata kidogo achaneni kabisa na hayo Maandamano mtaani uku kugumu sana hata wale ambae mmewin mtaani is cz mpo hapo mlipo ndo paliwapa jina
 
Sasa naona professional imewekwa pembeni na sasa wameingia rasmi kwenye siasa am now conviced that kuna pressure nyuma Yao. Dr mkopi chonde chonde now simameni wenyewe katika maamuzi cz kuna watu wataumia na Hawana pa kwenda sio kweli Kwamba Nyie wote mtapata kazi Botswana kuna watu udactari tu wa hapa tz unafanya a no of people to depend on them mi nazan madactari sasa mfanye maamuzi yatakayo Linda professional yenu achaneni na siasa.

Kikubwa hapa ndugu zangu madactari fanyeni maamuzi ili kuokoa professional yenu Maandamano hayawezi kuleta tija yoyote ile katika taaluma yenu tunajua uzalendo kwetu ss wanna hi wa Hali ya chini hamna bt fanyeni reasonable decision kuokoa taaluma yenu mnachowaza sio sahihi hata kidogo achaneni kabisa na hayo Maandamano mtaani uku kugumu sana hata wale ambae mmewin mtaani is cz mpo hapo mlipo ndo paliwapa jina
pumbav kweli kweli! sidhani kama una IQ ya kutosha kutoa advice ya aina yoyote ile kwa madaktari kama hata unaweza kusuggest kuwa maandamo ya aina zote ni siasa! acha mambo yako bwana, hawa watu wanapigania sekta ya afya ya nchi yetu ikiwemo na PROFESSION (ili uwe unajua namna ya kutumia maneno ya kiingereza, sio unayatumia halafu unakosea matense na manini, shule mkuu!!!) zao! wamemwaga mpaka damu, sasa unataka kutuambia hawailindi profession yao? eti kuna mtu nyuma yao! acha kupandikiza mawazo finyu! humu yanaonekana, JF watu wako makini!!!
 
now that is some good news!sasa tuone kama kibali kitatolewa..wote twjua serikali yetu ilivo!!either way-i am glad we are standing up for one another.i hope the solidarity lasts..aluta continua!!
 
Hahahahha safiiii haya ndio maneno mpaka tuwazodoe

Sasa hawa Madaktari au Chadema, wapi na wapi maandamano ya Madaktari yanatangazwa na wafuasi wa Chadema, huu mgomo wa Madaktari ungekuwa nyuma ya Watanzania Madaktari wangefanikiwa lakini wameruhusu Chadema wateke mgomo wao.
 
Sasa naona professional imewekwa pembeni na sasa wameingia rasmi kwenye siasa am now conviced that kuna pressure nyuma Yao. Dr mkopi chonde chonde now simameni wenyewe katika maamuzi cz kuna watu wataumia na Hawana pa kwenda sio kweli Kwamba Nyie wote mtapata kazi Botswana kuna watu udactari tu wa hapa tz unafanya a no of people to depend on them mi nazan madactari sasa mfanye maamuzi yatakayo Linda professional yenu achaneni na siasa.

Kikubwa hapa ndugu zangu madactari fanyeni maamuzi ili kuokoa professional yenu Maandamano hayawezi kuleta tija yoyote ile katika taaluma yenu tunajua uzalendo kwetu ss wanna hi wa Hali ya chini hamna bt fanyeni reasonable decision kuokoa taaluma yenu mnachowaza sio sahihi hata kidogo achaneni kabisa na hayo Maandamano mtaani uku kugumu sana hata wale ambae mmewin mtaani is cz mpo hapo mlipo ndo paliwapa jina

Pamokonunda! umefikiri vizuri kweli kama mwanajamvi au na wewe kuna "pressure nyuma" yako kama usemavyo??
Hivi mfanyakazi kugoma au kuandamana si moja ya haki za msingi katika kufikisha kilio na madai ya msingi aliyonayo. Inasikitisha tunapoona mtanzania kama wewe ambaye umefikia uwezo wa kuwamo jamvini na still unakua na fikra duni namna hii, je mwanakijiji wa kule kwetu Namtumbo atakuwaje?
Hii nchi inahitaji mabadiliko makubwa, tuna changamoto nyingi sana za kuinua sekta mbalimbali kielimu, afya, madini, maji, teknolojia etc na bado imegubikwa na utawala hovyo, ufujaji, rushwa na ufisadi! Mimi nafikiri yeyote mwenye mapenzi mema na mwenye kutamani maendeleo binafsi na ya nchi ataunga mkono vuguvugu chanya la mabadiliko linaloletwa na taasisi, makundi mbalimbali katika jamii yetu,

Hili sakata la madaktari, pamoja na kwamba tunawaona wameshindwa, lakini watawala wetu kamwe hawatabaki jinsi walivyo, hawatadharau, kupuuzia na kufanya maamuzi ya uonevu tena, mara jambo linapoanza kulalamikiwa (tukumbuke sakata la madaktari lilianza kwa Intern doctors kutolipwa stahili zao zaidi ya miezi 3).

Mimi nawaunga mkono madaktari, na makundi yoyote ya kijamii ku-exercise their right kudai haki zao za msingi, faida yake haitakuwa kupata stahili zao tu, bali pia kuhimiza utawala bora na kuchochea maendeleo ya nchi. Kwamantiki hii hata sipati tashwishwi kuwatia moyo hata tusio madaktari kuwaunga mkono katika maandamano!

Na ieleweke vizuri kama ambavyo serikali, polisi, UWT/TISS na wengine wanaotumia akili kwa uaminifu (pasipo kuwachia watu wengine wafikiri kwa niaba yao kama wewe) wanaelewa kuwa vuguvugu hili limeletwa na maamuzi maboviu ya serikali yenyewe wala sio CDM, wasijisifu kwa hili japo najua wanamezea mate!





:spy:Liberated world starts with one liberal thought
 
Sasa hawa Madaktari au Chadema, wapi na wapi maandamano ya Madaktari yanatangazwa na wafuasi wa Chadema, huu mgomo wa Madaktari ungekuwa nyuma ya Watanzania Madaktari wangefanikiwa lakini wameruhusu Chadema wateke mgomo wao.

Chademaphobia. Hauko peke yako.

Wapo pia Liwalo na liwe na mwenzie Jokerkilaza
 
Tunaomba Serikali muwawache wandamane na mturuhusu wananchi twende tukawalambe bakora.

Maandamano yanini na wameshaambiwa kinaga ubaga asiyetaka aache kazi. Milango iko wazi. Wanaandamana nini? waondoke wakatafute kazi za kufanya hatuwataki tumeshachoka nao.
 
Tunaomba Serikali muwawache wandamane na mturuhusu wananchi twende tukawalambe bakora.

Maandamano yanini na wameshaambiwa kinaga ubaga asiyetaka aache kazi. Milango iko wazi. Wanaandamana nini? waondoke wakatafute kazi za kufanya hatuwataki tumeshachoka nao.

kwenye msafara wa mamba na kenge wamo
 
WTF! Madaktari bongo wandhani wao ni akina nani? mbona wanataka waiendeshe nchi hivyo? Huo muda wakugoma wanautoa wapi na huku wagonjwa wakiwa unattended mahospitalini, acheni kazi madr wote mkitaka acheni ndugu zetu waendelee kufa, bora kutoa hizo billions kwa dr from Iran kuliko hawa dr uchwala wa Tz, wanaotoa dawa za maumivu tu kwa kila ugonjwa. TUMEWACHOKA fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!
 
Tunaomba Serikali muwawache wandamane na mturuhusu wananchi twende tukawalambe bakora.

Maandamano yanini na wameshaambiwa kinaga ubaga asiyetaka aache kazi. Milango iko wazi. Wanaandamana nini? waondoke wakatafute kazi za kufanya hatuwataki tumeshachoka nao.

Mnawataka sana ila mnajifanyisha..kama hamuwatak kwann mmewafutia lesen? Wapen lesen zao sasa
 
WTF! Madaktari bongo wandhani wao ni akina nani? mbona wanataka waiendeshe nchi hivyo? Huo muda wakugoma wanautoa wapi na huku wagonjwa wakiwa unattended mahospitalini, acheni kazi madr wote mkitaka acheni ndugu zetu waendelee kufa, bora kutoa hizo billions kwa dr from Iran kuliko hawa dr uchwala wa Tz, wanaotoa dawa za maumivu tu kwa kila ugonjwa. TUMEWACHOKA fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!

Hamjawachoka bado mnawapenda sana...kama mmewachoka lesen zao za nn?wapen waende hata iran na wao
 
Sasa hawa Madaktari au Chadema, wapi na wapi maandamano ya Madaktari yanatangazwa na wafuasi wa Chadema, huu mgomo wa Madaktari ungekuwa nyuma ya Watanzania Madaktari wangefanikiwa lakini wameruhusu Chadema wateke mgomo wao.

hofu ya u-ccm wako itakuua wewe, kenya, waliandamana, israel na portugal the same, sasa unashangaa madaktari kuandamana!! halafu unakurupuka kusema chadema, kwenye matangazo umesikia wameomba chama cha siasa yoyote?!au kwa kuwa wewe hupaswi kuwepo pale kwa sababu ya ruhusa ya bosi wenu aliyewatuma kuwahadaa wananchi?..gluteal thinking,..period.
 
WTF! Madaktari bongo wandhani wao ni akina nani? mbona wanataka waiendeshe nchi hivyo? Huo muda wakugoma wanautoa wapi na huku wagonjwa wakiwa unattended mahospitalini, acheni kazi madr wote mkitaka acheni ndugu zetu waendelee kufa, bora kutoa hizo billions kwa dr from Iran kuliko hawa dr uchwala wa Tz, wanaotoa dawa za maumivu tu kwa kila ugonjwa. TUMEWACHOKA fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!
wanatoa dawa za maumivu tu kwa kila ugonjwa? hapo kweli bado unaona kosa ni la daktari? tuliyowachoka ni mipumbavu kama wewe ambayo haiwezi kujiuliza ni kwa nini viongozi wetu wakiugua kidogo ni kupelekwa india lakini mwananchi wa kawaida anakosa dawa na kuishia kupewa panadol tu...halafu eti unamlaumu daktari...
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom