MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
mchochezi
hivi mgomo mi naona upo wa chinchin mbona muhimbil kweupe isivyo kawaida
wagonjwa wenyewe wanasema huduma sio nzur!!!
Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.
Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.
kama kweli ana SIRI, ni vyema akaibuka kimya kimya na kuhutubia umma wa Watanzania kwa kushtukiza, kwani suala la kuonekana kwenye TV au kusikika redioni si ishu, ni kuweza kulipia tu airtime
Nahisi maumivu atakayopata DR Ulimboka atakaposikia Madaktari wenzie wamemsaliti,pamoja na
kuwaomba akiongea kwa maumivu makali akiwa airport kuwa maumivu na damu yake iliyomwagika
iwe chachu ya wao kudai mageuzi, oh inaumiza sana leo hii madaktari wamerudi kazini tena kimya
kimya bila kuwaza maumivu aliyoyapata mwenzao kwa ajili yao wote .Je wanaweza kusema hayo
mazingira mazuri ya kazi yameboreshwa? au madi yao yametekelezwa? mmejidhalilisha na hamtakaa
msikilizwe tena.Ni kweli serikali ilijua mwenye msimamo ni Ulimbika tu ndio maana wakaamua kumuua.
mmejionyesha ninyi si muhimu kuliko sekta zingine kama TRA,BOT,Bunge NK.DRs THIN TWICE!!!!!
kama kweli ana SIRI, ni vyema akaibuka kimya kimya na kuhutubia umma wa Watanzania kwa kushtukiza, kwani suala la kuonekana kwenye TV au kusikika redioni si ishu, ni kuweza kulipia tu airtime
hongera wasaliti kwa kuokoa maisha ya wavuja jasho wanyonge wasio na mtetezi..hakika Mnyaaz Mngu Sub'hana atawarejeshea yenye kheri na ziada tele. Msisikize hoja za wanaotaka kufika ikulu 'kwa gharama' yeyote kupitia migongo yenu, hawana nia njema hawa.
Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.
ona taakhhira mwingine huyu!kwa kua madr-wengi ni wakristo ndo mana unafurahia kipigo alichopewa,mkiambiwa ninyi ni magaid mnabisha AHMAD,,RAMA--???washenz wakubwa
Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.
kwa kua madr-wengi ni wakristo ndo mana unafurahia kipigo alichopewa,mkiambiwa ninyi ni magaid mnabisha AHMAD,,RAMA--???washenz wakubwa