Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si mara moja simba, yanga au taifa stars kupokelewa airport na mashabiki wake bila kibali.
Najua hata kikwete akirudi kutoka kwenye mkutano wake wa uzazi wa mpango wakitokea watu wakaenda kumpokea airport hawahitajika kuwa na kibari.