MMAHE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 816
- 417
- Thread starter
- #21
ILe ilikua Mtwara vijijini waliambiwa DC wao ataenda leo,bdo wanasubiri ila walisema km hawapewi majibu ya maana wataendelea na zoezi hadi kieleweke.sii majuzi walifunga barabara ya newala mtwara kwa madai hayo hayo!serikali ilitoa ahadi ya uongo