MMAHE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 816
- 417
kuhusu madai ya malipo ya pili ya korosho, CUF ikiongozwa na Julius Mtatiro na M/kiti wa CUF Wilaya (katani katani) wataongoza maandamano hadi kwa mkuu wa Wilaya asubuhi hii. Mungu awatangulie wana Tandahimba wenzangu, pamoja sana, nothing impossible!
source Pride FM Mtwara
source Pride FM Mtwara