Mmh!...??Si muitishe mgomo wa nchi nzima wa kutokutumia umeme?watu tushaandamana sana tumechoka tangu enzi zile sa maalim seif ana sema jino kwa jino wakati jino lake kalificha pale starlight!wewe (lipia umeme kadri utumiavyo) a.k.a LUku.fujo za nini?
Hapana! jamii hii huwa inaonewa huruma sana na polisi waa magamba
Unataka vilema na watoto wapewe kisago na F.F.U ?
Siyo woga....kuwashinda magamba lazima utumie ujanja na akili,vinginevyo inakula kwakoMkuu hizo ni dalili za woga; kwanini watoto na walemavu wawe kama ngao?
Siyo woga....kuwashinda magamba lazima utumie ujanja na akili,vinginevyo inakula kwako
Na wafanyakazi wa Tanesco watakuwepo?
Niko mbele kama mimba na nitahakisha hawa polis wa magamba nachukuwa maji yangu au element ili wasinipate.