Hatupati umeme siyo kwa sababu infrastructure za umeme ni bei juu sana bali ni serikali haitimizi wajibu wake.Kwa taarifa tu haya makali tunayo experience top decision makers including some stupid MPs hawaya-experience kutokana na fasi zao au disposable income...tunashindwa kutetewa na wabunge kwa sababu allowance anazopata ndani ya wiki anauwezo wa kujinunulia generator nzuri...fuatilia utaona serikali imenunua na kugharamia uendeshaji wa generator kwa viongozi wa juu serikalini.Mgao wa umeme ni nchi nzima jamani hili ni janga linawashinda viongozi kulitatua watawezaje kuwasaidia? Umeme sio bidhaa inayopatikana dukani tuseme tukiandamana tutanunuliwa tupewe tutulie. Nashauri tuyageuze maandamano haya yawe ya kuing`o serikali legelege madarakani iliofanya uvundo huu wa miaka 50. Mm pia nipo arusha na nitaandamana hata nipigwe moto wengine wapone.
Nawashangaa wanazunguka wakati kila kitu kipo waz!!
Chadema ni chama cha Vurugu
Vipi mkuu umesharudi kutoka Igunga? nasikia ulikuwa kwenye ile orodha ya waliokodiwa kwa ajili ya kwenda kulia pale kwenye ule mkutano!,...... vipi wenzako waliozimia wameshazinduka?
Best! Thread inasoma ni 24/07/2011 na bila ya kukosea ni siku ya jumapili ijayo!Hata mimi nitakuwepo apo Arusha jamani itakuwa lini
Hata mimi nitakuwepo apo Arusha jamani itakuwa lini
Bata anahara.Maandamano hayo bado yataonekana ya kisiasa kwani Lema,Mbowe na viongozi wengine wa chadema wataingia kwa title ya wananchi.
yaweza ikawa kweli,sisi huku tabora mgao ni wa masaa 12,labda kwa sababu hatuna viwanda.Hali Kadhalika Mbeya mjini wazee, mgao ni mkali mno, ni kama hamna umeme kabisa.Nadhani wanafanya makusudi kwa majimbo yaliyochukuliwa na Chadema.
Maandamano hayo bado yataonekana ya kisiasa kwani Lema,Mbowe na viongozi wengine wa chadema wataingia kwa title ya wananchi.