Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
kasafishe meno ndo maana na maneno unayotoa ni machafu!upeo wako wa mambo mchafu yani kila kitu kichafu!kipato cha mtanzania ni 770,000.00 kwa mwaka mbunge anapata 660,000.00 kwa siku mbili!hizi akili matope!amkeni nyie vipofu na viziwi! Mnafikiri kutumia nini?
Kaka, hizo 660.000.00 kwa siku mbili hivi na Chadema nao wanachuwa au CCM peke yake?