big up wanafunzi mnaotambua haki zenu. hapa bongo bila kukomaa hakuna haki yako. jipangeni vizuri haki zenu mtazipata. historia inaonyesha hakuna posho iliyoongezwa bila wanafunzi kuandamana hivyo kazi kwenu.
wanafunzi wengi wameondoka asubuhi kuelekea ikulu , wamewapitia ardhi n IfM nadhani na wenyewe watapitiwa , waliobaki chuo ni wanafunzi wachache na wafanyakazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.