Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Kama kawaida msema hovyo mimi nimekuja na jipya leo. Sasahivi mimi pamoja na jamaa zangu wa maeneo ya Gongo la mboto na Temeke tunafanya majadiliano juu ya kuwa na maandamano makubwa kupinga mgao wa umeme uliopo nchini. Mimi mwenyewe ndo naandaa mkakati huo hivi sasa. Na mwitikio wa watu ni mkubwa sana. Tunataka uungwaji mkono ili tuweze kuikumbusha serikali wajibu wake.
Haiwezekani serikali ambayo tangu mwaka 2006 imekumbwa na shida kubwa ya mgao wa umeme halafu miaka mitano baadaye bado haijajua nini cha kufanya kumaliza hilo tatizo. Halafu JK anatukejeli eti yeye siyo wingu la mvua? Shenzi kabisa, tulimchagua akafanye nini magogoni? No we need electricty, hawezi aondoke Ikulu tumuweke mtu mwingine atakayekuwa mbunifu. Magogoni si pa kukaa watu vilaza pale. Tuungeni mkono wakubwa.
Haiwezekani serikali ambayo tangu mwaka 2006 imekumbwa na shida kubwa ya mgao wa umeme halafu miaka mitano baadaye bado haijajua nini cha kufanya kumaliza hilo tatizo. Halafu JK anatukejeli eti yeye siyo wingu la mvua? Shenzi kabisa, tulimchagua akafanye nini magogoni? No we need electricty, hawezi aondoke Ikulu tumuweke mtu mwingine atakayekuwa mbunifu. Magogoni si pa kukaa watu vilaza pale. Tuungeni mkono wakubwa.