Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Ndugu mpendwa ukiwa mmoja wa wapendwa wanaoamini dawa kutoka kwa Mungu ya bwana Ambilikile tumeona mpaka sasa serikali aijaonyesha uwezo wake halisi kumsaidia babu huyu ikiwemo kusaidia miundo mbinu viafaa anavyotumia na mengineyo ktk kuonyesha tuko pamoja na Babu tumeona tuweke mkakati wa maandamano tar 26 mjini arusha kuhimiza serikali kumsapoti babu na pili kusimamia usafiri wa Loliondo upunguzwe bei na usiwe wa matajiri tu wenye uqwezo wa kulipa laki moja sumatra tun aomba msaada kwa hili
ukiwa kama mhitaji wa babu unaombwa kuchangia sh 5000 ...hii ni pamoja na kupewa tshirt zitakazokuwa na picha za babu akiwapa viongozi mbali mbali wa serikali maji matakatifu...tutnaomba utume kama utashiriki tuweze kujua idadi kwa
denismandia@yahoo.com
pesa mtaelezwa wapi pa kupeleka
pdidyLambilikile@yahoo.com