MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Just for curiosity,... Mtoto akichukia au kama anadai kitu analia. Watazania kwa ujumla wao wanachukua hatua gani kama hawaridhiki na watawala wao??
Kuwaondoa madarakani. Watawala siyo kama wazazi, kelele zetu kwao haziwa sumbua as long as wanaendelea kuwa madarakani. Dawa ya cancer ni kuing'oa kabisa ndiyo uanze tiba ya kuiponya. Vidonda walivyo tuwekea haviwezi kupona mpaka waondoke wanaozidi kuzi tonesha kila kukicha.